a
Kut 11:8
;
Ebr 11:27
Exodus 10:28-29
28
Farao akamwambia Musa, “Ondoka mbele yangu! Hakikisha kuwa hutakuja mbele yangu tena! Siku ile utakapouona uso wangu utakufa.”
29
a
Musa akamjibu, “Iwe kama ulivyosema! Kamwe sitauona uso wako tena.”
Copyright information for
SwhKC